Kila mtu huwa ana jiandaa vile ambavyo ana pendezwa navyo, wengi hununua nguo mpya, vyakula kwa aili ya kusheherekea sikukuu ya Eid. Lakini pale umri unapo kwenda kununua nguo mpya kidogo ina kuwa ngumu kwaio wengi wetu hupenda kupaka Henna, Hakuna mwanamke anae chukizwa na kupaka Henna labda kama ana matatizo nayo kingozi.
Hizi ndizo Henna zilizopo kwenye Trend sasa hivi
Bangle Henna hizi ni zile ambazo hishia juu kidogo ya mkono yaani haifiki mpaka mwiso hii huwa kama bangili ndo maana ikaitwa Bangle Henna
Simple Floral Henna – hii maua yake huwa simple na si nyingi sana
Henna Za Miguuni kama una penda basi hizi zitafaa
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/henna-katika-maandalizi-ya-eid/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/henna-katika-maandalizi-ya-eid/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/henna-katika-maandalizi-ya-eid/ […]