Kuna muda huwa tunawaza hizi brand kubwakubwa huwa wakitoa collection mpya wanaweka na kitu cha kushangaza ili tu wapate kuongelewa tunasema marketing strategy. Tumeona mara nyingi Balenciaga, Gucci, Yeezy wakiwa wanaongelewa kutokana na vitu wanavyo vitengeneza kuwa havi-make sense.
Mfano mzuri ni hizi bow earings zilizo tengenezwa kwa kutumia kamba za viatu, Balenciaga wanauza hereni hizi kwa Usd 250 ambayo ni sawa na Tzs 583,000/-


Hereni hizi zime trend kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakiwa na mitazamo hasi kuhusu hereni hizi. Well Balenciaga hawakuishia hapo kuna choker zake ambazo unaweza ku-match na hereni zako ambazo hizi zinauzwa Usd 450 sawa na Tzs 1,049,400 na pia kuna bracelets zake.


Tuambie je ni chop au drop?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/hereni-za-kamba-za-viatu-zinazouzwa-tsh-583000/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/hereni-za-kamba-za-viatu-zinazouzwa-tsh-583000/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/hereni-za-kamba-za-viatu-zinazouzwa-tsh-583000/ […]