Watu wengi wamekuwa wakipotea hapa, tunakesha kuuliza kuhusu skin care routine za wengine, tunakesha kutafuta vipodozi vizuri vya bei ghali, inawezekana tukapata hivyo vipodozi lakini bado ngozi zetu zikaendelea kuwa na hali mbaya, kwakuwa tunasahau kwamba skincare routine ni moja ya sehemu 3 za kupata ngozi nzuri. Tuna focus kwenye hii moja na kusahau nyingine.
- Ukiachana na skincare routine unatakiwa kuangalia pia unachokula
Angalia unachoweka katika mwili wako, punguza kula sukari nyingi, chumvi na mafuta badala yake tumia vyakula vyenye sukari ndogo chumvi kiasi na mafuta kiasi bila kusahau kula matunda, na vyakula vyenye protini ya kutosha na vitamini na lishe iliyo na vitamini C nyingi hii nayo itakupa ngozi nzuri yenye kung’aa. Achana na vyakula vya kukaanga na ma-rost yenye spices nyingi badala yake kula blander foods such as rice, oatmeal and applesauce

- Life Style
Ngozi yako haiwezi kuwa nzuri kama life style yako ni mbaya mfano, kunywa pombe mara kwa mara,uvutaji wa sigara, kutokufanya mazoezi na kutoa jasho mwilini, kutembea juani bila ya kupaka sunscreen, kutokunywa maji ya kutosha na kutokulala kwa muda unaotakiwa.
Well kama wewe ni mmoja wapo ambae unateseka kwa kutupa pesa kwenye vipodozi bila matokeo chanya jaribu kufuatilia lifestyle yako na chakula unachokula.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/huwezi-kupata-ngozi-nzuri-kwakuwa-na-skincare-routine-tu/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 70221 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/huwezi-kupata-ngozi-nzuri-kwakuwa-na-skincare-routine-tu/ […]