Asili ya home remedy hii ni India. Ni nzuri kuondoa vichwa vyeusi “blackheads” Blackheads /Closed comedone ” vichwa vyeusi”
Ni Aina ya Chunusi ambayo hutokea baada ya kuongezeka kwa sebum na Ngozi iliyokufa. Kama katika kuongezeka huku kwa sebum na seli za ngozi zilizokufa, kijitundu cha kinyeweleo kitakuwa wazi, hali inayoitwa open comedone au blackhead itatokea.
Kuzidi kuongezeka kwa mafuta kutoka sebacious glands, kutalifanya eneo linalokizunguka kijitundu cha kinyweleo kuvimba. Blackheads zinaweza kuambatana na mashambulizi ya bakteria wa P.acnes endapo wataweza kushambulia eneo linalozunguka kijitundu cha kinyweleo.
Tumia pilipili manga / pilipili Mtama na maziwa mtindi kuondoa blackheads “vichwa vyeusi”
Mahitaji
- Vijiko 2 vya maziwa mtindi Kijiko 1 cha pilipili manga “pilipili Mtama” ( ya unga ni bora zaidi)
- Muda wa kuandaa : Dakika 1
- Maelekezo 1. Changanya mahitaji yote kwenye bakuli safi 2. Osha uso wako, uache ukauke kidogo tu. 3. Paka mchanganyiko wako usoni na shingoni 4. Sugua taratibu kwa kuzunguka kwa dakika 55. Osha na maji ya uvuguvugu na ujikaushe.
- Pilipili manga inauwezo wa kuongeza mzunguko wa Damu kwenye Ngozi yako ya uso, hivyo basi mzunguko wa hewa safi pamoja na virutubisho huongezeka. Vile vile inazuia bacteria hatarishi wasiingie kwenye Ngozi yako ambao huleta chunusi aina ya blackheads “vichwa vyeusi “
- Maziwa mtindi yana lactic acid yenyewe inaweza kutoa Ngozi iliyokufa “dead skin” na kupunguza ukubwa wa tundu za uso na kung’arisha uso wako na kuua bacteria hatari Huku ikikuachia bacteria salama Kabisa.
- Kila nikihisi ngozi yako kuchoka Fanya hii, blackheads zitaisha.
Tahadhari : Pilipili manga/ pilipili Mtama inawasha. Uwasho Ndio unafanya niliyoeleza Hapo juu. Vumilia ukitaka uzuri Shart uzurike ati.
Unatakiwa kufanya mara 1 sio Zaidi ya Mara 2 kwa wiki.
Shea na uwapendao!
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…