Kama utakuwa umenotice the trending hair style kwa sasa ni Rainbow hair, Hii ni style ya nywele ambayo inakuwa na rangi moja kuu lakini ndani yake kuna rangi nyingine nyingine mchanganyiko, inaweza kuwa a wig, weave au hata natural hair inawezekana kufanya.
Tumeispot kwa watu maarufu wengi akiwepo Queen of colored hair Nicki Minaj ambapo ali perform katika 2018 Bet awards katika hair style hii, na tumemspot mara nyingi katika hair style hii.
Mwanamuziki kutoka Tanzania Mimi Mars tumemuona katika style hii ya nywele katika video ya wimbo wake mpya uitwao kodo, Mimi Mars ame debut hii hair do in a short gray & black ombre weave ndani yake ikiwa na rangi kama purple,pink na njano.
Wakati tumem-spot Irene uwoya yeye akiwa amevalia platnum blonde wig ambalo ndani yake lina rangi ya blue na pinkish kwa mbali, Irene tunaweza kusema anatoka sana kwenye comfort zone yake.
Na mwisho ni Jacqueline Wolper ambae yeye alihudhudhuria katika birthday ya Wema Sepetu akiwa ameweka hair style hio yeye rangi yake kuu ilikuwa kijani huku ndani yake kulikuwa na rangi ya purple na nyekundu
Tuambie kwako wewe utajaribu hii hair style au lah?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 74828 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/irene-uwoya-jacqueline-wolper-mimi-mars-in-rainbow-hair-do/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/irene-uwoya-jacqueline-wolper-mimi-mars-in-rainbow-hair-do/ […]