Kila mtu ana penda kupendeza uwe mwanamke au mwanaume sote tunapenda kupendeza, kunukia vizuri sio tu ina kufanya uvutie lakini pia inakupa confidence hata utembeapo barabarani. Kwa sasa upande wa kina dada wengi tunapenda make-up, wengi wanachukua muda kujifunza iwe kwa kufanyia biashara au kwa ajili ya wao wenyewe (yes sio kila siku kutoa hela kwa makeup artist). Lakini inakuaje kama wewe hupendi ile make up bold kabisa? una penda natural neutral look, pia inawezekana mmoja kati ya stylist & fashion blogger bora kabisa Tanzania Lavidoz ameonekana kuwa ana penda makeup ambazo hazipo too much, zile zinazo kupa muonekano wa asili na kupendeza effortless hii ni baadhi ya mionekano yake iliyo tuvutia
Unaweza kuona jinsi ambavyo makeup yake ipo simple eye brows done, eye shadow isiyo ng’aa sana na nude lipstick & still gorgeous
Brown lips kama hupendi make up yenye makoro koro basi unatakiwa uwe una miliki brow lipstick,nude na lipstick zisizo shout
Tunapo ongelea earth tone tunaongelea rangi za neutral/nude,rangi zote ambazo zina jumuisha familia ya watu weusi (hata mweupe unaweza kupaka rangi tulivu kama hupendi rangi za kelele) Kizuri kuhusu makeup hizi ni kwamba unaweza kuingia nazo popote na saa yoyote huitaji kufuta au kubadilisha kutokana na mahali
Natural toned makeup ina ongelea uzuri katika hali ya uhalisia yaani Beauty in simplicity !
Kama ume mpenda na unataka kumfollow bonyeza hapa lakini pia blog yake ni hii hapa, hizi makeup zote amefanyiwa na Divaglam_beauty hapa, Tips za kustyle mustard color kama lavidoz bonyeza hapa
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/issafacebeat-lavidoz-flawless-earth-toned-makeup/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/issafacebeat-lavidoz-flawless-earth-toned-makeup/ […]