Huko mitandaoni kuna hair styles mbalimbali zinaendelea ambazo tumeziona lakini kinachoonekana kuja kwa kasi kwa sasa hivi ni Pixie Cut ambapo style hii ya nywele nyuma zinakuwa fupi halafu mbele ndefu kidogo upande mmoja, hii hair style kuna kipindi fulani ilikuwa inaitwa “Rihanna hair style” inaonekana kuja kwa kasi Nchini na hata nje ya Nchi,
Tumeiona kwa mwanadada Cardi B ambae yeye aliattend kwenye MTV VMA’s akiwa na hairstyle hii na tulisema tumependa she showed us her face features, we loved it.
Lakini pia tumemuona Video Vixen Irene kutoka Tanzania ambae nae aliweka style hii ya nywele, hair style hii ina mfaa almost kila mtu na inategemea na feature za uso wako kwa hio kabla ya kuweka inabidi utafute ipi inakufaa zaidi kutokana na uso wako, unaweza kufanya iwefupi zaidi au kuwa ndefu kidogo inategemea na mapenzi yako, Kitu tulichojifunza kutoka kwa Irene na Cardi B ni kuwa na bold makeup ukiwa na hairstyle hii unapendeza zaidi.
Mwingine ambae tumemuona ni fashionista na fashion host mwanadada Liliane Masuka ambae yeye amefanya fresh cut yaani amekata nywele zake za asili na kuweka hii hair style, we love how the hair style looks on her, so fresh sometimes all you need is a fresh hair style to update your look but the best part is she is owning it, Tumependa zaidi hapa alivyo amua kutumia accessories ku-update muonekano wake huu mpya.
Lakini pia mwanadada Jacqueline Mengi nae hakuwa nyuma kupitwa na hii style ya nywele, yeye aliamua ku-update hair style yake hii na bold orange blazer na bold lipstick, we lovelovelove this new look on her
well kama ulikuwa hujui hairstyle gani ipo hot kipindi hiki basi ndio hio hapo, we love it na hili joto la kipindi hiki inafaa sana, iwe natural, wig au weaving ni chaguo lako.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/its-pixie-haircut-style-season/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/its-pixie-haircut-style-season/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/its-pixie-haircut-style-season/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/its-pixie-haircut-style-season/ […]