Ukiongelea moja ya vitu muhimu katika sekta nzima ya urembo basi lazima useme miwani, sio tu husaidia kulinda macho yetu bali pia ni moja kati ya urembo ambao unaweza kubeba mtoko wako, well leo Mrs Mengi ame step out akiwa amevaa a blue shirt dress, gold pumps na black handbag lakini kilicho tuvutia zaidi na kuweka statement katika mtoko wake ni hii Gucci L’Aveugle Par Amour Round Sunglasses ambayo inauzwa $620 sawa na 1,416,080/- za Kitanzania.
Jacqueline anapenda kuvaa vitu vyenye thamani hasa zile brands kubwa tumesha muona akiwa amevalia mavazi mbalimbali yenye thamani kubwa,
well katika blog ya gucci kuna rangi mbili ambazo ni nyeusi na orange acetate.
Hatujajua kama hii nyeupe ni sold out au ni version nyingine ya hizi sunglasses lakini unaweza kuzipata hapa tumeona wanauza hizi nyeupe kwa $585 ambayo ni sawa na 1,338,363/-
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/jacqueline-mengi-alivyo-style-miwani-hii-ya-gicci-yenye-thamani-ya-1416080/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/jacqueline-mengi-alivyo-style-miwani-hii-ya-gicci-yenye-thamani-ya-1416080/ […]