Wakati mara nyingi huwa tunaamini watu maarufu wako perfect na wengine huwa tunaenda mbali zaidi na kuwauliza wanatumia nini kuondoa stretch marks mwilini huku tukisahau most of the time wanatumia proffesional photographer au app za kuondoa flaws.
Jacqueline Mengi ameamua kuwa real na kuonyesha Dunia kwamba hata yeye ana flaws na ni sawa kuzi embrace, Jacqueline alipost hii picha akiwa amevaa crop top huku stretch mark zake maeneo ya tumbo zikionekana.

Wengi waliona na kuliongelea, Jacqueline alijibu kuhusu hilo kwa kusema anapenda stretch marks zake maana zinamkumbusha safari yake ya kuwa mama

well let’s start normalizing hivi vitu, tumependa namna Jacqueline ameonyesha uhalisia wake na kuwa motivate wengine wajipende vile walivyo.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/jacqueline-mengi-flaunting-her-stretch-marks/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/jacqueline-mengi-flaunting-her-stretch-marks/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/jacqueline-mengi-flaunting-her-stretch-marks/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/jacqueline-mengi-flaunting-her-stretch-marks/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/jacqueline-mengi-flaunting-her-stretch-marks/ […]