Mwanamuziki, Mwanamitindo na Muigizaji Janelle Monae ambae wengi huwa tuna mpenda na style zake za nguo na nywele ame kuja na hii mpya ya kutumia pini za kuwafungia watoto nepi au nguo ikiwa ime haribika au haikutoshi kama accessory katika nywele zake. Tulivyo ona hii hair style mara ya kwanza kutoka kwake tukajua its a one time thing lakini mwenyewe ameonekana kuvutiwa nayo as ame irudia tena.
mara ya kwanza ali style nywele zake kama a rough up do hair style aka chomeka na hizi safety pin’s ame pendeza kuanzia make up nywele na accessories zake
Mara ya pili alitengeneza mafungu mawili ya nywele na ku accessorize na pini, akavalia palazo la pundamilia na crop top nyeusi.
Well ni vizuri kufikiria nje ya box wengi tuna hizi pins nyumbani lakini hutumika pale tu unapo hitaji kuvaa nguo isiyo kutosha au kum’badilishia mtoto nepi lakini kumbe unaweza kuzifanya zikawa accessories ila kuna madhara yake usipo kuwa muangalifu.
je kako ni Hit au Miss?
Tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…