Janet Jackson amerudi tena katika muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu kutokana na Ndoa na mtoto, hivi karibuni Janet ametengana na mumewe na ameamua kurudi kufanya kile ambacho anakipenda yaani career yake ya muziki. Janet ni moja kati ya fitted and stylish women ambao tunawajua, her body is goals na ana style za mavazi za kipekee.
Usiku wa kuamkia jana kulikua na hafla iitwayo Billboards Music Awards ambapo Janet ali-perform lakini pia alipokea tuzo ya heshima ya Icon Award Honaree, Well katika performance yake hio ndipo tulipo notice kwamba Janet Jackson amechagua kuvaa urembo wa shanga
Shanga ni moja kati ya urembo ambao unapatikana Africa na tulisha wahi kuandika jinsi ambavyo unarudi kwa kwasi urembo huu, kwa hapa kwetu Tanzania urembo huu unatengenezwa na wamasai wao ndio mara nyingi wanauza hizi shanga.
Well Janet yeye aliamua kuchanganya urembo huu wa asili na modern cloth ambapo alivaa sparkling gold sweatshirt dress na shiny gold thigh-high shoe’s
We love jinsi ambavyo ame style mavazi yake na urembo huu na ni matumaini yetu tutaona wengine wakifuatisha
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/janet-jackson-avaa-urembo-wa-shanga-katika-billboard-music-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/janet-jackson-avaa-urembo-wa-shanga-katika-billboard-music-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/janet-jackson-avaa-urembo-wa-shanga-katika-billboard-music-awards/ […]