Kahawa ni energy booster iwe unafanyakazi ofisini, uwe ni mama wa nyumbani sote tunahitaji kahawa kuamsha mwili wetu na kuendelea na kazi zetu za kilasiku. Well tulishawahi kusikia kwamba kahawa husababisha chunusi je ni kweli?
“Jibu ni kwamba kahawa haisababishi chunusi, lakini kunywa kahawa mara kwa mara kunaweza kusababisha zile chunusi ulizonazo kuzidi zaidi”
Ni vipi basi kahawa inaweza kuzidisha chunusi?
- Unapo kunywa kahawa unatumia sukari nyingi na maziwa ili kupunguza ukali wake, hii hupelekea kuwa na intake kubwa ya maziwa na sukari ambavyo ni visababishi vikubwa vya chunusi, unapokunywa sukari nyingi unaongeza insulin ambayo ni chanzo kikubwa cha chunusi.
- Unywaji wa kahawa inasemakana unaongeza stress & anxiety, ambazo nazo zinaweza kusababisha chunusi usoni mwako ambapo stress husababisha ongezeko la cortisol ambayo husababisha excess oil kwenye ngozi yako. Athari Za Msongo Wa Mawazo Katika Muonekano Wako
- Kahawa husababisha ukosefu wa usingizi ambao pia unaweza kusababisha chunusi katika ngozi yako. Jinsi Ya Kuboresha Urembo Wako
Kama unachunusi ambazo unaona kila unachotumia hakisaidii na wewe ni mnywaji mkubwa wa kahawa au unakula sana sukari na maziwa, jaribu kupunguza kutumia vitu hivi kwa muda na uangalie matokeo yake yatakuwaje.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 48259 more Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/je-kahawa-inasababisha-chunusi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/je-kahawa-inasababisha-chunusi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/je-kahawa-inasababisha-chunusi/ […]