Hili ni swali ambalo wengi wetu tunajiuliza je ukiwa mweusi unahitaji suncreen? ambapo wengi wetu tunaamini kwamba kipodozi hiki ni kwa ajili ya wale wenye ngozi nyeupe tu kana kwamba sisi hatajua kilitupiga hakuna kinachobadilika.
Leo tunakupa jibu la swali hili,
Si kweli kwamba mtu mweusi haitaji kupaka sunscreen,Kila mtu anahitaji kulinda ngozi yake kutokana na mionzi ya jua, na wakati melanini ya asili hutoa ulinzi wa jua, haitoshi.
Mionzi ya UVA na UVB kutoka katika jua inawajibika kwa kufanya ngozi izeeke pamoja na kukupa sunburns, lakini pia kuna cancer ya ngozi pamoja na skin hyperpigmentation ambazo vyote hutokana na mionzi ya jua.
Matumizi ya sunscree ni muhimu kwa ngozi za aina zote iwe nyeupe, nyeusi au maji ya kunde, inasaidia kuweka kizuizi kati ya jua na ngozi yako na kukuepusha na maradhi na uharibifu wa ngozi.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…