Ikiwa accessories ni moja ya namna ya kunyanyua muonekano wako hasa kwa mavazi ya ofisini ambayo kuna muda yanaweza kuonekana too boring, lakini huwezi kuvaa tu accessory yoyote kazini kuna ambazo zinafaa na ambazo hazifai.
Week iliyopita tulitoa tips kadhaa kuhusu accessories za kuvaa kazini, week hii tunataka kujibu hili swali na kwasababu tumeona baadhi ya watu wakivaa vikuku (anklet) ofisini.
KIkuku hakifai kuvaa kazini, yes kiwe gold, silver, cha shanga chochote haifai kuvaa kazini, kutokana na kwamba kikuku vina draw attention kwenye miguu, utafanya wengine washindwe ku-concetrate na kuwa wanakuangalia miguuni.

Tayari kikuku kinasifa mbaya hasa kwetu Africa (japo si kweli) lakini huitaji kuwa topic huko makazini na kama boss wako ni old fashioned unaweza kusababisha uonekane mtu asiejielewa wakati hilii si lengo lako.
Kikuku kinaweza kushusha vazi, ndio maana unaweza kuona hata mavazi ya harusini au kwenye mitoko kama red carpet watu hawavai vikuku, hata kama ni cha thamani hakifai kuvaliwa kwenye mavazi ambayo ni official na ya mitoko.
Lakini unaweza kuvaa endapo tu kama kazi yako ina ruhusu hasa wale ambao wanafanya casual work.
Tupe maoni yako kuhusu hili.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…