Swala la kupaka sunscreen limekuwa swala kubwa sana kwasasa Nchini kwetu na hii inatokana na kwamba hiki ni kitu kipya kidogo kwetu. Wengi tunazo kwasasa na wafanyabiashara wa urembo wengi wamekuwa wakiziongelea na kuziuza. Tulishatoa tips mbalimbali kuhusu umuhimu wa kupaka sunscreen
lakini hivi karibuni tulipokea swali la Je hii sunscreen inapakwa baada au kabla ya kupaka moisturizer?
Jibu ni inategemea na aina gani ya sunscreen unayoitumia
Kama Unatumia Chemical Sunscreen, basi ni vyema ukaipaka kabla ya moisturizer kwasababu aina hii ya sunscreen inahitaji kuingia kwenye ngozi ilikuipa ulinzi / kufanya kazi vizuri zaidi
Lakini kama unatumia physical sunscreen (pia inajulikana kama mineral sunscreen) basi unatakiwa kuipaka baada ya moisturizer kwasababu Sunscreen hizi hutengenezwa na viungo vya madini, ambayo hukaa juu ya ngozi. Hii ina maana kwamba sunscreen na viungo vyake kamwe haziwezikupenya kwenye ngozi ili kufanya kazi yake. Badala yake, mhuunda kizuizi kati ya ngozi na mionzi hatari ya UV, Kwa sababu hizi, mineral suncreen huchukuliwa kuwa salama zaidi
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 16546 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/je-unapaka-sunscreen-kabla-au-baada-ya-moisturizer/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 20135 more Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/je-unapaka-sunscreen-kabla-au-baada-ya-moisturizer/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/je-unapaka-sunscreen-kabla-au-baada-ya-moisturizer/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/je-unapaka-sunscreen-kabla-au-baada-ya-moisturizer/ […]