Kabla ya kuanza kupaka eyeliner yako ni vyema kujua baadhi ya mambo ya msingi. Ni aina gani ya eyeliner ni rahisi kutumia je ni eyeliner ya gel, maji au kalamu.
Pia wengi hupata tatizo katika mikono mara nyingi eye liner zina kaa vibaya kwa sababu ya kutingishika kwa mkono ili kuepuka swala hili ina faa ukaweka kifuti (elbow) chako cha mkono juu ya meza hii ni mbinu nzuri kwa wanao anza kujifunza kupaka make up. ili kuendelea kupata matokeo mazuri ya eye liner/ make up zako ni vizuri kufanya mazoezi mara kwa mara,Hakuna anayeweza kamilifu bila mazoezi
Eye Liner ya Kalamu: Ni nzuri kwa wanao anza ni rahisi kutumia
jinsi ya kupaka kutumia eyeliner ya kalamu/pencil – sogeza eyeliner yako kutoka kona ya ndani ya jicho mpaka nje karibu na nyusi, jaribu kufanya eyeliner yako iwe karibu na nyusi uwezavyo na pia huku mbele kuwe kunene na mwisho karibu na nyusi pawe pembamba.
Angalia video hapo chini kujifunza zaidi.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-kupaka-eye-liner-bigginers/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-kupaka-eye-liner-bigginers/ […]