Kuwa kiasili ndio trend kwa sasa ambapo muda umefika sisi kama wa Africa na hata ambao sio wa Africa tumeamua Kupenda Asili yetu, iwe kuwa na Natural hair, kuvaa mavazi ya kiasili au kutunza ngozi zetu za asili bila kujichubua au kuongeza makemikali, miaka hii ya karibuni tumejifunza kujipenda vile tulivyo kwa sababu kila kitu kina uzuri ndani yake. Mwaka jana kuvaa kiasili ili trend zaidi lakini mwaka huu inaonekana muamko na nywele za asili umekua mkubwa, kwa kuliona hilo tume mtafuta natural hair consultant kutoka Tanzania ambae tumeweza kuchukua mawili matatu kutoka kwake. Anaitwa Addidah wengi tunamjua kupitia page yake iitwayo @naturalhair_tanzania Instagram
Afroswagga – Kuwa na nywele asili kuna maanisha nini kwako?
Addidah – Having natural hair means you embrace who you are maana tumezaliwa na nywele za asili unakuwa free na heat and chemical relaxers. Yani unajikubali wewe km wewe.
Afroswagga – Wengi huwa wana weka dawa nywele kutokana na nywele za asili za kiafrica kuwa ngumu kama natural hair consultant una weza kutuambia nini cha kufanya nywele zetu za asili zisiwe ngumu?
Addidah – wengi huwa wanaweka dawa kwa kisingizo cha nywele za kiafrika kuwa ngumu Ila ukweli ni kwamba wengi wetu hatujui matunzo sahihi ya nywele zetu, nywele zetu sio ngumu isipokuwa ni kavu sana na ni rahisi kukatika kinachotakiwa ni kujifunza jinsi ya kuzifanya zisiwe kavu kwa kuziongeza unyevu hasa maji, nywele zetu ni kama maua zinahitaji sana maji ili zikue.
Afroswagga – vipi mtu anaweza kutunza nywele zake za asili ziwe na afya?
Adiddah – .mtu anaweza kutunza nywele za asili ziwe na afya kwanza kwa kuacha kabisa kutumia chemicals hasa dawa za kuzibadirisha kutoka kwenye uharisia wake, pia kutumia mara kwa mara matumizi ya moto kwa sababu unapotumia moto unaunguza Ile protein iliyopo kwenye nywele zetu na pia unahitaji products ambazo hazina fragrance,parabens na mineral oils unaweza ukagoogle ingredients ambazo hazitakiwi kwenye products za nywele ukaziona kwa hiyo utakachofanya wewe ukinunua products unasoma tu sehemu iliyoandikwa ingredients.
Afroswagga – Tutajie Essential product naturista ana takiwa kuwa nazo
Addidah – essential products ambazo mtu anatakiwa kuwa nazo ni 1.shampoo , 2.leave in conditioner , 3. Hair masque /deep treatments na mafuta ya maji (coconut au olive )
Adiddah – .ningepewa nafasi ya kuchagua nywele za may maarufu ningechagua za @cravingyellow huyu dada ni mkenya lakini ameprove kwamba nywele zetu za kiafrika zinaweza kurefuka urefu ule uutakao halafu sina afya pia.
Afroswagga -Tutajie products tatu ambazo wewe unaziaminia katika kukuza na kutunza nywele za asili?
Addidah – products 3 ambazo naziaminia kwanza huwa napenda nywele zangu ziwe na unyevu muda wote so ya kwanza Shea moisture law Shea hair masque, shea moisture coconut curling smooth na Shea moisture coconut co wash.
Afroswagga- Natural hair product zipo expensive kidogo unaweza kututajia tips ambazo tunaweza kutumia kupunguza matumizi ya pesa kwenye products?
Addidah – unaweza kupunguza matumizi ya pesa kwa natural hair products kwanza products nyingi za nywele zipo jikoni kuanzia kwenye kuongeza unyevu waweza tumia asali, ndizi , parachichi au aloevera juice kwenye kuosha waweza tumia Apple cider vinegar au baking soda pia ukanunua vitu kama mafuta supermarket utapata mengi na kwa bei rahisi.
Addidah – kila kitu ukikitumia vibaya lazima kiwe na madhara , sponge haikati nywele Ila kama utatumia kwenye nywele kavu lazima nywele zitakatika. Hivyo ni lazima uhakikishe umemoisture nywele ndio utumie sponge nywele zetu zinahitaji kubembelezwa sana.
Afroswagga- accounts zako pendwa ulizo zifollow Instagram/Snapchat
Addidah – account ninazopenda insta ya 1. @leylat2 maana napata tips nyingi za nywele 2.@afroswaga napenda tips za mavazi /urembo n.k so lazima nipitie kupata tips mbili tatu na 3 .ni ya @cravingyellow napenda tu kuziangalia nywele zake na kujifunza zaidi kuhusu nywele.
Afroswagga- Kama natural hair consultant una washauri nini wa Tanzania na jamii kwa ujumla kuhusu natural hair?
Addidah – ushauri wangu kwa jamii na kwa watanzania wenzangu ni kwanza kuwa na nywele za asili inakufanya kujifunza mengi kuhusu nywele kama mimi mwanzo nywele zangu zilivyokuwa relaxed nilikuwa sijui hata leave in ni nini lakini sasa hivi najua mambo mengi kuhusu nywele za asili nilikuwa nafanya kama hodi lakini sasa hivi imekuwa carrier na napenda ninachokifanya, pia kunakufanya ujiamini na ujitambue mwisho it’s just hair fanya kile moyo wako unataka unaweza kuwa na nywele zenye dawa na u kazitunza vizuri tu. Usiwe na nywele za asili lakini ukawa unazichukia maana watu wengi nakutana nao au wananitumia msg kuwa hawapendi nywele zao jinsi zinavyoshrink.
Ni matumaini yetu mmeweza kupata mawili matatu kutoka kwa Addidah kumpata Insatgram @naturalhair_tanzania
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-natural-hair-care-tips-kutoka-kwa-natural-hair-tanzania-13026/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-natural-hair-care-tips-kutoka-kwa-natural-hair-tanzania-13026/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-natural-hair-care-tips-kutoka-kwa-natural-hair-tanzania-13026/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-natural-hair-care-tips-kutoka-kwa-natural-hair-tanzania-13026/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-natural-hair-care-tips-kutoka-kwa-natural-hair-tanzania-13026/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-natural-hair-care-tips-kutoka-kwa-natural-hair-tanzania-13026/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-natural-hair-care-tips-kutoka-kwa-natural-hair-tanzania-13026/ […]