Urembo ni kama kachumbari katika mavazi, mkufu unavo uvaa una upa muonekano wako wa juu kuonekana mzuri zaidi hata kama mavazi yako si mazuri sana lakini ukiuvaa vibaya una haribu muonekano mzima hata kama nguo yako ni nzuri.
hizi ni baadhi ya namna chache ambazo unatakiwa kuvaa mkufu wa aina gani kutokana na kola ya nguo uliyo ivaa, kuna wengine ambao wazuri katika urembo na wengine ambao hupata shida katika maamuzi yao jifunze hapa:
KOLA YA V,
1) Vaa mkufu unao fuata ile V uwe mrefu au mfupi sawa tu
2) Vaa mkufu wenye shanga nene au vito vikubwa vikubwa kama inavyo onekana pichani
KOLA YA MRABA
1) Mkufu wenye mfupi unao zunguka juu kidogo ya shingo yako ni chaguo sahihi
2) Mkufu wenye vito vichache kimoja au viwili ni chaguo lingine pia
KOLA YA DUARA
1) Mkufu mrefu uwe na urembo au sio urembo utapendeza
KOLA YA MKONO MMOJA
1)mkufu wenye kubana shingo (choker necklace)
2)Mkufu mrefu zaidi ya inch 20
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/jifunze-umbo-la-kola-na-mkufu-wa-kuvalia/ […]