Mask ni hatua ya kutunza ngozi yako ambayo Unaifanya kwa wiki Mara moja. Na unafanya baada ya kufanya scrub/ exfoliation.
Unapochagua mask unatakiwa kuzingatia Aina yako ya ngozi, umri wako na mahitaji yako.
Kuna Aina Saba za mask na kila mask ina kazi yake na ni maalum kwa wenye ngozi Aina yake na mahitaji pia.
1. Peel off mask
2. Sheet mask
3. Hydrating mask
4. Cream Mask
5. Clay (mud) mask
6. Gel Mask
7. Sleep Mask
Kazi ya Mask kwenye ngozi ni Kama ifuatavyo:
1. Inanyonya mafuta yaliyozidi usoni
2. Inaondoa uchafu wa ndani zaidi na ngozi iloyokufa
3. Inaongeza unyevunyevu kwenye ngozi
4. Inaondoa vichwa vyeusi “blackheads” na vichwa vyeupe “Whiteheads”5. Inaondoa mistari ya uzee Pamoja na makunyazi.
Kumbuka mask ni hatua kwenye utaratibu wa kutunza ngozi hivyo inaenda kufanya kazi yake kama tu upo kwenye routine na unaendelea Nayo vizuri.
- Peel off mask.
Kwa Leo tuanze kujifunza Kuhusu peel off mask. Hii ni mask ya kumenya.
Inawafaa wenye ngozi ya mafuta, na ni kwa ajili ya kutoa uchafu kwenye ngozi Pamoja na ngozi iloyokufa. Mask hii inawafaa wenye chunusi zisizoisha, wenye vichwa vyeusi na vichwa vyeupe. Na wenye madoa usoni.
Peel off mask ambazo zitasaidia kukisafisha uso kutoa blackheads usoni ,na mafuta mafuta na uchafu wote,na kukuacha na ngozi safi kabisa.
Peel off mask Zipo zinauzwa madukani ready made pia Zipo DIY Unaweza kufanya nyumbani kama zifuatazo
1. Asali na Maziwa mabichi.

2. Ute wa yai na limau.

3. Gelatine ,Unga wa Mkaa Na Maziwa ya Moto.

Changanya Upate mchanganyiko, Kisha paka usoni baada ya muda menya kuanzia kidevuni kuja juu. Usishushe chini, unashusha ngozi.
Gelatin Inapatikana madukani.
Tahadhari : Tumia mask kulingana na mahitaji yako kwa matokeo bora.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-peel-off-mask-inavyoweza-kuondoa-blackheads/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-peel-off-mask-inavyoweza-kuondoa-blackheads/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-peel-off-mask-inavyoweza-kuondoa-blackheads/ […]