Moto ni mbaya kwa nywele zetu, zinasababisha nywele ziwe dhaifu. Lakini nywele zetu za ki – Africa zinajikunja sana wakati mwingine ni kazi hata kuzichana inabidi ujaribu kuzilainisha kidogo au kuziweka ziwe straight. Leo tunakuletea namna ambavyo unaweza ku-blow dry nywele zako na usiziharibu.
Ndizi Inavyo Weza Kukusaidia Katika Ngozi Na Nywele
- Osha na deep condition nywele zako – usiblow dry nywele zikiwa kavu au chafu, osha nywele zako na uziache zikae kwa dk 10-15 kisha ndio uziblow dry.
- Detangle na chana nywele zako vizuri kabla ya kuzi-blow dry – hii itasaidia kufanya nywele zinyooke na zisitoke/kukatika wakati una zi-blow dry.
- Paka heat protector – unaweza kutumia mafuta ya nazi au heat protector nyingine zinauzo uzwa madukani hizi husaidia kulinda nywele zako na moto utokao katika blow dryer na kufanya usifikie nywele direct
- Kata mafungu – ukiwa una blow dry jaribu kukata mafungu na kublow dry fungu moja ukimaliza amia lingine
- Tumia moto wa size ya kati mpaka size ya chini – usitumie moto mkali utaharibu nywele zako
Tips Za Jinsi Ya Kupendeza Na Nywele Fupi
- Malizia blow dry yako na upepo wa baridi – kama kuna feni au uache zipate hewa ya baridi, hewa ya moto hufungua safu ya cuticle ya nywele na hewa ya baridi hufunga na kuziba nywele, kuongeza uang’azaji na kupunguza frizz
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 36495 additional Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-ku-blow-dry-nywele-za-asili-bila-kuziharibu/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 27234 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-ku-blow-dry-nywele-za-asili-bila-kuziharibu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-ku-blow-dry-nywele-za-asili-bila-kuziharibu/ […]