Katika kipindi cha Mwezi Tukufu wa Ramadhani, mazoea yetu ya kila siku, mpangilio na matumizi yetu ya chakula yana badilika. Lakini tunatakiwa kujua kwamba mabadiliko ya ghafla ya kubadilika kwa mfumo wa kula chakula katika kipindi kirefu cha kufunga inaweza kuumiza ngozi zetu.
Njia sahihi ni kuhudumia ngozi yako ili kuepuka mikunjo, kuchanika, ngozi kudhoofu na dalili zote za kukosa majini mwilini kutokana na kufunga kwa muda mrefu
VIPI UTAHIUDUMIA NGOZI YAKO
Tuna shauri unywe glasi nane za maji ukisha fungulia
Kula matunda mengi
Osha na paka mafuta mara kwa mara katika ngozi yako.
Ukweli: mwili wa binadamu una chukua 50/60 asilimia za viviminika asilia kama maji, juice ya matunda na 20/30 asilimia ya soda
Kula kwa afya kuna matunda na vyakula vingi ambavyo vitakusaidia kukarabati ngozi ilio kauka kurudi karika hali yake ya kawaida mfano: korosho na lozi zina mafuta ya asili naprotini ambazo zitasaidia kung’arisha ngozi yako
Matunda kama zabibu na tende pia yana sifika kwa kupambana na vitu vikali (kemikali) pia yana vitamin chuma, vitamin A,potasiamu na kalsiamu yanasaidia kuongeza optimum katika afya ya ngozi,matunda yanasaidia katika mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.
Fanya yaliyo bora kutoka katika kufunga kwa kuongeza madini yaliyo na afya katika ftari na suhoor (daku)
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kua-na-ngozi-yenye-afya-kipindi-cha-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kua-na-ngozi-yenye-afya-kipindi-cha-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kua-na-ngozi-yenye-afya-kipindi-cha-ramadhani/ […]