Magaga hutokana na ukavu wa ngozi, japo hayaumi na hayana madhara makubwa lakini ukiwa na magaga unapata tabu sana kuvaa viatu vya wazi kwa sababu ya aibu, hizi ni njia tatu za kuweza kuondoa magaga
SCRUB
kabla ya kwenda kulala scrub miguu yako kwa kufanya hivi
- chemsha maji yawe ya uvugu vugu
- mimina kwenye beseni
- weka sabuni katika maji yako
- na tumbukiza miguu kisha uanze kusugua kama na jiwe au brush
- ukimaliza kausha miguu na kitambaa kikavu na upake mafuta kisha vaa socks ulale nazo usiku mzima
- fanya hivi kila siku mpaka magaga yatakapo isha
MAJI YA LIMAO
- kata limao vipande viwili
- chukua kimoja na uanze ku sugua katika magaga yako hakikisha maji ya limao yana ingia au kupita katika magaga yako
- fanya hivi kwa muda usio pungua dakika tano
- kisha sugua magaga yako kwa brush/jiwe
- na uoshe miguu yako
OLIVE OIL
- paka mafuta ya olive katika pamba
- anza kusugua katika magaga yako kwa mfumo wa duara kwa dk15-20
- vaa socks na iache kwa lisaa limoja
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-magaga/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-magaga/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-magaga/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-magaga/ […]