Jinsi ya kuondoa nywele za usoni au ndevu kwa wanawake.
Leo kwenye urembo tutaongelea jinsi ya kuondoa nywele za usoni pamoja na ndevu ambazo siku hizi wanawake wengi wamejikuta wana nywele ambazo zinawakera.
Kwa kutumia kiwembe inaweza kuwa ni rahisi sana kwani ni kitu cha dakika lakini ujue nywele hizo zitarudi haraka sana.
Hapa nimekuletea vitu asilia ambavyo vinaweza kukuondolea nywele hizo na ukakaa kwa muda mrefu bila kuziona na usipate madhara ya mapele kama ambavyo ungenyoa na kiwembe.
Mahitaji:
- Vijiko viwili vya asali.Kijiko kimoja cha ngano.Vijiko viwili vya juisi ya limao.

- Chukua ngano isage mpaka upate unga wake. Changanya na asali pamoja na limao baada ya hapo paka kwenye eneo lenye nywele ukimaliza acha kwa muda wa dakika 15 kisha osha na maji ya vuguvugu.
- Baada ya hapo paka kipako chako rudia kupaka mchanganyiko huu mara mbili mpaka tatu kwa wiki ndani ya mwezi mmoja utaona nywele hizo zimepotea kabisa.
Kama una ngozi laini isiyotaka mikikimiki jaribu kidogo ili isije kukuletea matatizo.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-nywele-za-usoni-ndevukwa-wanawake/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-nywele-za-usoni-ndevukwa-wanawake/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 47968 additional Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-nywele-za-usoni-ndevukwa-wanawake/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-nywele-za-usoni-ndevukwa-wanawake/ […]