SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Jinsi Ya Kuondoa Nywele Za Usoni (Ndevu)Kwa Wanawake
Urembo

Jinsi Ya Kuondoa Nywele Za Usoni (Ndevu)Kwa Wanawake 

Jinsi ya kuondoa nywele za usoni au ndevu kwa wanawake.
Leo kwenye urembo tutaongelea jinsi ya kuondoa nywele za usoni pamoja na ndevu ambazo siku hizi wanawake wengi wamejikuta wana nywele  ambazo zinawakera.


Kwa kutumia kiwembe inaweza kuwa ni rahisi sana kwani ni kitu cha dakika lakini ujue nywele hizo zitarudi haraka sana.
Hapa nimekuletea vitu asilia ambavyo vinaweza kukuondolea nywele hizo na ukakaa kwa muda mrefu bila kuziona na usipate madhara ya mapele kama ambavyo ungenyoa na kiwembe.

Mahitaji:

  • Vijiko viwili vya asali.Kijiko kimoja cha ngano.Vijiko viwili vya juisi ya limao.
  • Chukua ngano isage mpaka upate unga wake. Changanya na asali pamoja na limao baada ya hapo paka kwenye eneo lenye nywele ukimaliza acha kwa muda wa dakika 15 kisha osha na maji ya vuguvugu.
  • Baada ya hapo paka kipako chako rudia kupaka mchanganyiko huu mara mbili mpaka tatu kwa wiki ndani ya mwezi mmoja utaona nywele hizo zimepotea kabisa.

Kama una ngozi laini isiyotaka mikikimiki jaribu kidogo ili isije kukuletea matatizo.

©binturembo

Related posts

4 Comments

  1. adhd doctors fairfax va

    … [Trackback]

    […] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-nywele-za-usoni-ndevukwa-wanawake/ […]

  2. dadukopro

    … [Trackback]

    […] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-nywele-za-usoni-ndevukwa-wanawake/ […]

  3. Dave T Bolno and Dr Stacy Pineles

    … [Trackback]

    […] There you will find 47968 additional Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-nywele-za-usoni-ndevukwa-wanawake/ […]

  4. check here

    … [Trackback]

    […] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondoa-nywele-za-usoni-ndevukwa-wanawake/ […]

Comments are closed.