Kuna baadhi ya sehemu huwa ngumu sana kutakata, kwa wale wanene mapajani huwa peusi kutokana na misuguano, lakini pia kuna shingo huwa nyeusi na pia makwapani hizi ndizo njia rahisi zisizo kugharimu kiasi kubwa cha fedha unazo weza kutumia kuondoa weusi huo
Baking soda na limao
Limao ni zuri katika kung’arisha ngozi. na baking soda ni nzuri katika kuondoa uchafu unacho hitajika kufanya ni kuchanganya mchanganyiko wa baking soda na Limao paka sehemu yenye weusi kama ni kwapani au magotini sugua kwa muda kisha iache ikauke.
Maziwa na manjano
maziwa nayo husifika kwa kung’arisha ngozi na manjano husifika katika kusafisha ngozi, changanya vikijo viwili vya raw milk pamoja na kiasi cha manjano kisha paka katika sehemu iliyo athirika na weusi, una weza kutumia cotton au sponge kupakia kama ni chini ya makwapa ukisha paka nyanyua mikono juu mpaka ikauke kisha futa na maji ya vugu vugu
Baking soda na Asali
Ni vizuri kutumia vitu vya asili ili kuto kupata matokeo mabaya katika utumiaji wa vipodozi, asali iki changanywa na baking soda ukapaka sehemu yoyote yenye weusi utapata matokeo mazuri ya kusafishika, changanya asali na baking soda kisha paka sehemu iliyo athirika na ukae nayo kwa dakika 15 kisha ondoa kwa maji masafi.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…