ivo vitu vyeupe ni Ngozi iloyokufa “Dead skins” ambazo zikikutana na hewa sinafanya kama upele fulani hivi au tunaita whiteheads.
Whiteheads ” vichwa vyeupe” ni aina ya chunusi na huwatokea zaidi wenye ngozi ya mafuta, wanawake na wanaume, wazee kwa vijana.
Unaweza kuviondoa kwa kutumia facial cleansers na oil free moisturizer(cream). Osha uso mara mbili kwa siku na maji ya vuguvugu.
Baada ya kuosha fanya kama unapigapiga taulo usoni “pat dry” usisugue. Hii ni njia inayopunguza uchafu na mafuta kujijenga kwenye skin pores.
Tumia Face cleanser ambayo itaondoa uchafu na dead skin Zote kwenye ngozi.
Bidhaa za vipodozi vyenye viambata kama alpha-hydorxyl acid,salicylic acid au benzoyl-peroxide ni nzuri kwa kuondoa hivo vitu. Ulizia Maduka ya vipodozi vyenye kuaminika utavipata.
Steaming ni njia nzuri ya kuondoa white heads.Chemsha maji moto weka kwenye bakuli,acha ule mvuke ukupige usoni kwa dakika 15.
Steaming ni njia nzuri ya kufungua tundu za kwenye ngozi,ambapo inakuwa kwa urahisi kuondoa uchafu kwenye ngozi.
Tumia scurbs kulingana na ngozi yako hii Inaondoa ngozi iloyokufa na kusafisha ngozi.
Ukitoka kuoga tumia vidole vyako viwili kusugua taratibu eneo la pua ,itaondoa ngozi zote zilizokauka.
Epuka kujishika eneo hilo wakati wote,kwasababu vijidudu vilivyopo kwenye mikono vinasababisha muongezeko wa hali hio.
Kuna njia mbadala pia ambazo zinaweza kutumia nyumbani kuondoa hizo whiteheads.
- Aloevera

Ni anti-septic(inaua vijidudu) in nature na ina anti-oxidants. Changanya drop 3 za juisi ya limau na aloevera gel. Weka kwenye uso,kisha sugua taratibu kwa dakika 15,suuza uso na maji moto.
- Nyanya

Nyanya inasemekana kuwa leukopene ambayo ina uchachu unaosaidia kuondoa whiteheads. Tengeneza juisi ya nyanya,chukua hii juisi na uweke usoni mpaka ikauke. Suuza uso kwa maji ya vuguvugu.
- Asali

Pasha moto asali yaani kwenye waterbath, ikiwa na joto la kiasi sio la kuunguza,weka usoni na usugue taratibu kwenye eneo la pua kwa dakika 10,kisha acha ikauke. Suuza inapokauka.
- Sugar Scrub

Saga sukari iwe powder. Changanya na juisi ya limau, weka kwenye eneo la pua na scrub Kisha sugua taratibu. Baada ya dakika 20 osha.
- Mayai

Mayai yana omega-3 fatacids nyingi, vitamins na minerals ambazo zinamea ngozi. Chukua ule weupe wa yai weka kwenye uso,ukishakauka suuza na maji ya vuguvugu.
by @binturembo
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kuondokana-na-whiteheads-vipele-vyeupe-puani/ […]