Mara nyingi watu hudhani kupendezesha hijab yako ni kuvaa mkufu na pete lakini husahau kua kuna namna nyingine ya kupamba hijab zao, kama unavaa hjab ya rangi moja au mavazi yasiyo na urembo mwingi haito umiza kama ukiongezea na urembo mwingine ili kupata muonekano mzuri na wa kupendeza.
Vifuatavyo ni mapambo ambayo unaweza kuongezea katika hijab yako wengI wasio vaa hijab wana tumia kama vibanio katika nywele zao:
dusumali
kuongezea dusumali ni njia rahisi ya kupata muonekano mzuri wa hijab yako kuna dumusali nyingi ambazo unaweza kuvaa lakini kwangu naona ni vizuri ukichagua yenye maua maua, kama unaenda harusini tafuta ambayo ina vito lakini kama upo tu kawaida una weza kuchagua zenye kitai. Kuongezea dusumali yako unaweza kuweka juu ya hijab yako
Teeka
Teekas ni pambo la kusini mwa asia ambapo huvaliwa sana na ma bibi harusi, lakini zimekuja mpaka huku kwetu na zinapatikana kirasi katika maduka ya urembo
Teeka ni jinsi nyingine ya kupamba hijab yako, unaweza kuiweka teeka utosini ikaning’inia kwenye kikomo chako cha uso halafu ukafunga hijab au pia unaweza kuvaa hijab yako halafu ukaaining’iniza juu ya hijab vyovyote vile itapendeza
Mkufu
Unaweza ukawa na mkufu wa zamani ambao labda unaupenda sana na huwezi kuutupa na umesha kuwa mfupi unaweza kuuvaa na hijab yako
Pini za hijab
Hizi ni rahisi unaweza kuyakinisha na rangi ya hijab yako
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…