Kutokana na madiliko katika mfumo wa chakula katika ramadhani,nywele zako zitegemewe kudhoofu. Kwa wanawake wengine nywele zao zina kauka na wengine zinakatika.
Habari nzuri ni kwamba unaweza kudhibiti hali hii kwa kufuata yafuatayo:
- Barakoa ya Nywele (Hair Mask)
Kuza na Ng’aza Nywele zako kutumia Barakoa tofauti tofauti za nywele ambazo ni za asili (barakoa zilizo tengenezwa nyumbani) mfano, Barakoa ya ndizi na parachichi
- Chagua Kitana Kizuri Kwa Nywele Zako
Kwa nywele ndefu: chagua kitana kilicho tengenezwa kwa ajili ya nywele za asili
Kwa nywele fupi: tumia kitana kilicho tengenezwa kwa ajili ya nywele za nailoni (bandia)
- Kula vizuri
Kula matunda na mboga mboga kwa wingi hii inaweza kusaidia kukuza na kutunza nywele zako pia hakikisha una kunywa kikombe kimoja cha maziwa fresh au mgando kila siku.
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-katika-kipindi-cha-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 14319 additional Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-katika-kipindi-cha-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-katika-kipindi-cha-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-katika-kipindi-cha-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-katika-kipindi-cha-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-katika-kipindi-cha-ramadhani/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 16610 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-katika-kipindi-cha-ramadhani/ […]