We all want to have skinny body but nobody wants to have thin hair, wengi tuna tupia lawama homoni ( nimezaliwa hivi hivi), wengine salon, madawa nakadhalika, inawezekana una natural au relaxed hair na bado zikawa nyepesi hii ni kutokana na mambo mengi ambayo baadhi tumeyataja hapo juu. Lakini ni namna gani unaweza kuzitunza hizi nywele ziishe zaidi? soma hapo chini
- Osha nywele mara moja kwa week au kila baada ya week – tunapaka mafuta mbalimbali ya nywele yana kemikali mbalimbali inawezeka ni nzuri kwa wakati fulani baada ya hapo zinakua kemikali mbaya kwa hiyo ni vyema kuziosha kabla hazija badilika na kuzidi kuharibu nywele zako.
- Tumia conditioner – Tumia conditioner kuoshea nywele zako na paka sana mwisho wa nywele maana ndipo pazee na panapo kuwa kwepesi kuliko chini zinazo ota.
- Fanya hot oil treatment mara moja kwa mwezi – hii inasaidia kuzipa nywele zako unyevu na kuzikuza.
- Usilale na nywele ambazo hazijakauka – kausha nywele kabla ya kulala, kama nywele ni nyepesi ukalala nazo zikiwa na maji ni rahisi kukatika.
- Punguza matumizi ya moto – matumizi ya moto si mazuri hata kwa wenye nywele nzito, moto huunguza nywele na kuzifanya ziwe nyepesi, punguza au acha kabisa.
- Hakikisha rasta,misuko ya kawaida haikazwi sana – ukisukwa rasta au misuko ya kawaida na huku una nywele nyepesi ni rahisi kukatika, hakikisha msusi wako ana kuwa katikati hakazi na wala halegezi.
- Tumia hinna au dawa za kuzipa nywele uzito – Henna inasifika kwa kujaza na kuzipa uzito nywele kama una nywele nyepesi basi fanya henna awe rafiki wa karibu na nywele zako.
Kusoma namna ya kutunza nywele kavu click hapa
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-nyepesi-chache/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-nyepesi-chache/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-nyepesi-chache/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutunza-nywele-nyepesi-chache/ […]