Ni mafuta mazuri kwa ngozi kavu, kawaida na baadhi ya ngozi za mafuta.
Jojoba ni mafuta kwa muonekano ila ni wax (nta), yanafanana kwa muundo wa kemua (chemivalstructur) kama mafuta yanayotengenezwa na ngozi zetu yani SEBUM. Kwa hiyo haya mafuta ni mazuri sana kwa ngozi iliyo komaa yani MATURE SKIN, Mature skin ni ya mtu toka umri wa 35 + .
Kuna wakati umri unaposonga nao mfumo wa mwili unabadilika ndipo unakuta unaanza kupata mikunyanzi. Ukiwa na mafuta haya ya jojoba yanakusaidia sana kufanya kazi ile ile ya sebum…kama umri umesonga na mwili hautengenezi sebum ya kutosha…
Sebum inapozidi kwenye ngozi ndipo tunasema. Una ngozi ya mafuta. Naikizidi kishauwe hauna utunzaji mzuri wa ngozi ndio unakuta unapata chunusi kwasababu inaziba matundu ya ngozi.
Sebum inasaidia ngozi kuvutika, kung’aa na Kutengeneza collagen ya ngozi (kupunguza mikunyanzi na michirizi)
Hivyo basi kuna faida nyingi katika kutumia jojoba oil kama hujaanza kutumia fanya hivyo. na ufurahie faida zake.Na faida hizo ni pamoja na
1. Inafaa kwa aina zote za ngozi
2. Inaondoa makunyazi kwa watu wenye umri wa miaka 35 na kuendelea
3. Inasaidia kufifisha michirizi
4. Yanapatikana kirahisi, ni rahisi kutumia na hayana madhara
Jinsi ya kutumia : Unatumia kama utumiavo mafuta mengine!
©️binturembo
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…