Pictured: Kanye West
Ref: SPL1414354 261216
Picture by: Clint Brewer / Splash News
Splash News and Pictures
Los Angeles:310-821-2666
New York:212-619-2666
London:870-934-2666
photodesk@splashnews.com
Rapper Kanye West ana onekana ndio rapper asiye ishiwa vituko, siku chache baada ya mkewe kuibiwa na yeye kupata tatizo la mental break down Kanye alionekana tena mtaani baada ya kurudi alionekana akiwa ame weka bleach nywele zake kidogo kichwani lakini sasa amekuja na hii mpya.
Kanye ame bleach nywele zake zote na kuweka rangi ya pink kwa mbaali
Kanye alionekana kwenye theater ya movie akiwa ame valia hoodie ya cream, Suruali ya kijeshi na boots za yeezy
hatujui nini kina endelea na nywele za Kanye anaonekana kama ana rainbow kichwani anyways its Kanye being Kanye
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…