Karoti sio zao geni, najua tulio wengi tunalifahamu kama kiungo cha mboga. Kwetu Tanzania tumezoea kutumia karoti katika kuunga mchuzi na wachache hutafuna kama tunda. Lakini kinyume na matumizi hayo, ulaji wa karoti una faida nyingi katika urembo na mwili kwa ujumla, Leo nataka tuangalie jinsi karoti inavyokufanyia uwe kichuna.
1. NGOZI BOWRA.
Karoti ina kiasi kikubwa cha Vitamin C ambayo inasaidia katika urutubishaji wa afya ya ngozi. Unaweza kuitumia Karoti katika kutengeneza Mask ya uso. Ambayo karoti unachanganya na Asali. Unywaji wa juisi ya karoti inasaidia katika kuondoa makovu katika sehemu mbalimbali za ngozi.
2. KINGA YA NGOZI
Karoti pia ni kinga ya baadhi ya magonjwa ya ngozi, Madini yaliyo katika karoti ynaweza kuikinga ngozi isipatwe na Vichunusi pamoja na vipere.
3. UKAVU WA NGOZI
Unywaji wa juisi itokanayo na karoti unasaidia kuipa ngozi yako ubichi muda wote na kuondoa ukavu wa ngozi.
4. ULIZI WA JUA
Karoti inasaidia katika kuikinga ngozi na mionzi ya jua. Vitamini A vilivyomo kwenye karoti
MUHIMU: Ulaji wa karoti uliopitiliza unaweza kusababisha rangi ya ngozi kubadilika na kuwa ya rangi ya machungwa.
Tumeona matumizi ya karoti yanavyoweza kukupa matokea bowra kabisa katika urembo wa ngozi yako.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…