Mwanamitindo na mjasiriamali Kim Kardashian ameonekana katika Tuzo za MTV Movie & Tv Awards akiwa amesukia rasta za fulani braids, kuna kipindi hizi rasta zilitrend sana watu maarufu wengi walisukia imeonekana Kim kavutiwa nazo na kuzisukia katika hafla ya MTV Movie & TV Awards,
Kim alisuka rasta nyeusi ambapo style yake ilikuwa amekata katikati (middle part), Ame style hii ya nywele na signature style yake ya kuvaa two pieces outfit.
Well sio wote ambao walipendezwa na Kim Kusukia style hii ya nywele hasa black Americans ambao wanasema Kim Kardashian ana fanya matumizi mabaya ya asili yao yaani culture appropriation.
Baada ya hizi comments kufurika katika comment section ya mwanadada Kim K ikatufanya tujiulize sio sisi tunaolalamikia watu kuchukua asili yetu ndio ambao tuna kimbilia asili yao kwa kununua na kuvaa 32 inchies za ma wig na weaving’s zilizo tengenezwa na nywele zao? Sio sisi ambao tuna wa furahia wakina Nicki Minaj, Black Chyna wakivaa hizi nywele? why we Kim press the panic button in us wakati sisi wenyewe tunakimbia asili yetu?
Tupe maoni yako katika hili.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 66874 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/kim-kardashian-asuka-fulani-braids-katika-tuzo-za-mtv-movie-tv-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/kim-kardashian-asuka-fulani-braids-katika-tuzo-za-mtv-movie-tv-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/kim-kardashian-asuka-fulani-braids-katika-tuzo-za-mtv-movie-tv-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/kim-kardashian-asuka-fulani-braids-katika-tuzo-za-mtv-movie-tv-awards/ […]