Wengi wetu tume kua tukihifadhi vipodozi vyetu katika majokofu (friji) ili visiharibike bila kujua kuna faida na hasara za kufanya hivyo, si kila kipodozi kina faa kuwekwa katika jokofu vingine ukiviweka una haribu ubora wake.
Vipodozi ambavyo vimetengenezwa kwa mafuta na siagi vina nafasi kubwa ya kuhifadhiwa katika jokofu kwa sababu kwenye joto vinayeyuka na kupoteza ubora wake haraka.
Jambo la kwanza muhimu ni kusoma maelezo katika kipodozi chako. Na jambo la pili hata kama ime ruhusiwa kukihifadhi katika jokofu basi uwe una kiangalia mara kwa mara ili kuhakiki hamna bakteria walio ingia katika kipodozi chako.
MUHUIMU Kuwa muangalifu hata kama ni kipodozi ambacho kina uwezo wa kuhifadhiwa kwenye jokofu vinaweza kubadilika na kuleta matatizo unapo vipaka
Vipodozi vya macho ni vizuri kuweka katika jokofu, vipodozi hivi vikiwa vimepoa yaani vina ubaridi ina saidia kukupa muonekano mzuri, kusaidia mzunguko wa damu na kuondoa weusi chini ya macho. Kufanya hivi hakuna madhara ya muda mrefu bali kuna faida hasa katika kipindi cha joto.
Vipodozi kama make up, manukato,na rangi za kucha
havifai kuwekwa kwenye jokofu, vina haribika ubora wake kama manukato yataganda, na make up si nzuri kuweka katika friji labda kama ni mafuta ya mdomoni yame yeyuka uweke kuyangandisha tena au wanja ni vema kuuweka katika friji dakika chache kabla ya kuuchonga.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/kipodozi-kipi-kinafaa-kuhifadhiwa-katika-jokofu/ […]