Kuna sababu nyingi ambazo husababisha ngozi ya miguu yako hukauka, kama vile mabadiliko ya hali ya hewa, athari kwa kitu ambacho unatumia katika ngozi, au ugonjwa.
Lakini pia kuna njia nyingi za kutuliza ngozi kavu kwa kupitia mabadiliko ya mtindo wa maisha yako, moisturizers, na matibabu.
Ni nini husababisha ngozi ya miguu kuwa kavu?
- Ngozi inakuwa kavu wakati haina uwezo wa kuweka maji ya kutosha kwenye safu ya juu kwa kutumia mafuta asilia ya mwili. Miguu yako inaweza kukauka kwa sababu mbalimbali, kuanzia mambo ya mazingira hadi hali ya kiafya.
Hizi ni baadhi ya sababu za kawaida za ngozi kavu kwenye miguu
- Allergic dermatitis
- Eczema
- Psoriasis
- Weather changes
- Harsh products
- age
- Medical conditions
Je Utafanyaje Kuondokana Na Tatizo Hili?
- Fany mabadiliko katika uogaji wako
Zingatia kuoga kwa kutumia maji ya uvuguvugu a(badala ya moto) na punguza muda unaotumia kwenye kuoga. Iwapo sabuni yako ya kuoga, shampo vina kemikali kali na manukato, fikiria kuvibadilisha ili upate bidhaa bora zaidi.
- Paka Mafuta
Mojawapo ya tiba muhimu zaidi ya ngozi ya kavu ni moisturizing kila siku. Unapaswa kulainisha ngozi yako mara tu baada ya kuoga hakikisha unapaka mafuta ngozi ikiwa bado na unyevu. Baadhi ya mafuta yanayo sifika kukaa kwenye ngozi ni Cetaphil, CeraVe, Vaseline, na Aveeno zote zinazopendekezwa zinaweza kutumika kwa ngozi kavu, lotions haipendekezwi kwa kuwa hazina unyevu mwingi.
- Tumia Product Zisizokuwa Na Kemikali Nyingi
Kemikali kali katika bidhaa za utunzaji wa ngozi zinaweza kuchangia ngozi kavu. Ni muhimu kutumia vipodozi visivyo na kemikali nyingi.
- Kunywa maji ya kutosha
Unapaswa pia kuhakikisha unakunywa maji mengi kila siku. Hii itazuia ngozi yako kuwa kavu. Lengo la kunywa glasi nane za aunzi 8 za maji kila siku. Unaweza kuhitaji kunywa zaidi ya hii, kulingana na uzito wa mwili wako na viwango vya shughuli unazo zifanya.
Note: Kuna sababu nyingi tofauti zinazosababisha ngozi kavu kwenye miguu, kuanzia allergy na mabadiliko ya hali ya hewa na magonjwa. Lakini haijalishi ni sababu gani, inawezekana kupata nafuu kutokana na tatizo hili, baadhi ya vitu vinavyoweza kukusaidia ni kutumia moisturizers na kufanya mabadiliko ya maisha inaweza kutosha kuzuia ngozi kavu. Lakini ikiwa ngozi kavu kwenye miguu yako inasababishwa na hali ya matibabu, utahitaji kutibu hali hiyo pia.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
[…] metronidazol y clindamicina[…]
metronidazol y clindamicina