Castor oil au mafuta ya mnyonyo ni moja kati ya vitu vya asili vyenye faida nyingi na vinaweza kutumika mara nyingi katika maswala mbalimbali kama afya na urembo, lakini vilevile kwa mshubiri au wengi tumezoea kuita mti wa Aloe Vera. Leo tunakuletea namna ambavyo unaweza kuchanganya vitu hivi viwili na kuweza kukuza kope zako.
- Mahitaji
Mafuta ya mnyonyo – vijiko viwili
Aloe Vera Gel (ute wa mshibiri) – vijiko viwili
Kikopo chenye mfuniko
brush ya kupakia mascara.
- Namna Ya Kufanya
Changanya mchanganyiko wa mafuta ya mnyonyo na aloe vera gel
paka katika kope kila siku usiku kwa kutumia brush ya kupakia mascara
usioshe mchanganyiko huu mpaka asubuhi muda ya kuoga
shake kila mara unapotaka kupaka mchanganyiko wako
utaanza kuona matokeo baada ya wiki 2-4
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/kuza-kope-kwa-kutumia-aloe-vera-gel-na-mafuta-ya-mnyonyo/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/kuza-kope-kwa-kutumia-aloe-vera-gel-na-mafuta-ya-mnyonyo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/kuza-kope-kwa-kutumia-aloe-vera-gel-na-mafuta-ya-mnyonyo/ […]