Week imekatika na tumerudi makazini lakini kama kawaida huwa tunakuletea slayed or played za week zile habari kubwa kabisa za mitindo na urembo zilizo tokea weekend na week nzima kwa ujumla, oh well oh well we have to admit we didn’t see this coming Kylie Jenner ambae aliweka Lips Filler’s kwa kuzichukia lips zake kuwa ndogo mno ameamua kurudi katika lips zake za kawaida.
Let’s say she is loving her self in the way God created her ” self love “, Mwaka 2015 Kylie Jenner alikubali kwamba ameongeza lips zake na hii ni kutokana na kuwa insecure na lips zake za kawaida.
“I was 15 and I was insecure about my lips. I have really small lips. And it was like one of my first kisses and a guy was like, ‘I didn’t think you would be a good kisser because you have such small lips.’ But I took that really hard,” Jenner shared during an episode of her E! spin-off series, Life of Kylie.
“Just when a guy you like says that, I don’t know, it just really affected me. I just didn’t feel desirable or pretty. I really wanted bigger lips. I would overline my lips with lip liner just to create the illusion of bigger lips. And then finally I was like this lip liner isn’t doing it. [I] ended up getting my lips done,” she added.
We are happy kwamba ameamua kujipenda jinsi alivyo she is beautiful either way, well Kylie sio wa kwanza kufanya operation ya kuondoa fake implants, mwanamuziki K Michelle nae aliamua kutoa Butt Implants zake baada ya kuwa anaona zinamzidia uzito na kupata maumivu.
Well Afro Gang je ninyi mnaonaje huu muonekano mpya wa Kylie Slayed Or Played?
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/kylie-jenner-arudi-katika-lips-zake-za-kawaida/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/kylie-jenner-arudi-katika-lips-zake-za-kawaida/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 4967 additional Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/kylie-jenner-arudi-katika-lips-zake-za-kawaida/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/kylie-jenner-arudi-katika-lips-zake-za-kawaida/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/kylie-jenner-arudi-katika-lips-zake-za-kawaida/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/kylie-jenner-arudi-katika-lips-zake-za-kawaida/ […]
water sounds
water sounds