Viganja vya mikono kuwa vigumu ni kutokana na kufanya kazi mbalimbali, Kusgua masufuria, kushika mikaa, kubeba vitu vizito na kazi nyingine mbalimbali, kwa wanaume kuwa na mikono migumu si big deal maana wenyewe wanasema uanaume ni ukakamavu lakini kwa wanawake ni tofauti hawataki kusikia swala la wao ni wagumu. Wengine hata kutoa salamu na mkono hawataki kisa tu wanahisi wataonekana na mikono migumu, well ondokana na hii hadha kwa kufanya hivi ukiwa nyumbani kama weekend au wakati wowote upatapo muda.
Mahitaji
Sukari – Vijiko viwili vya chai
almoind skin care oil – vijiko viwili (unaweza kutumia mafuta ya nazi)
Kijiko kimoja cha vipande vya ganda la limao vilivyo kwanguliwa
Namna Ya Kufanya
Changanya mahitaji yako katika kibakuli,chukua kiasi na anza kupaka (kusugua) katika vganja vyako fanya hivyo kwa muda mpaka utakapo ridhika na matokeo, kisha osha mikono yako na chukua mafuta ujipake ilimikono yako isiwe mikavu. Unaweza kuhifadhi mabaki ya mchanganyiko wako katika fridge na kutumia tena pale utakapo hitaji kutumia.
Soma hapa namna ya kulainisha miguu
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/limao-sukari-na-mafuta-ya-nazi-kwa-mikono-laini/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/limao-sukari-na-mafuta-ya-nazi-kwa-mikono-laini/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/limao-sukari-na-mafuta-ya-nazi-kwa-mikono-laini/ […]