Mmea wa liwasili yake ni nchini India na huko ndiko unapendwa na kutumika sana .Kwa hapa n Tanzania mti huu tunauita ‘Mliwa’ ambapo leo tunauangazia faida zake mbalimbali katika tiba, una faida katika tiba mbalimbali lakini leo tunaongelea kuhusu urembo, ni faida gani mmea huu unaupa ngozi yako lakini pia namna gani ya kuutumia kupata faida hizo.
Kuondoa Chunusi na madoa myeusi
- Mahitaji
Unga wa liwa – kijiko kimoja
Unga wa Manjano – nusu kijiko
Maziwa au maji – vijiko viliwi
- namna ya kufanya
Changanya vyote katika kibakuli na upate ujiuji wa mchanganyiko wako, kisha acha mchanganyiko huu kwa muda wa dakika 30 na uoshe kwa maji masafi, inashauriwa baada ya kupaka liwa utopaka kitu kingine usoni ikiwemo poda, krimu kwa kuwa ukipata vitu hivyo wakati wa usiku vitundu vya ngozi huziba na kushindwa kuingiza hewa vizuri mwilini na hivyo kusababisha ngozi kusinyaa na kukosa hewa.
Kwa Ngozi Nyororo
Paka essential oil ya liwa usiku na u-massage kwa muda kisha lala nayo mpaka asubuhi na uoshe uso wako kwa maji ya vuguvugu
Kuondoa Mikunjo ya Uzee
- Mahitaji
Liwa – kijiko kimoja
rose water – nusu kijiko
aloevera gel – kijiko kimoja
- Namna Ya Kufanya
Changanya mchanganyiko wako katika kibakuli na upake usoni kwa dakika kumi na tano, kisha osha mchanganyiko huu kwa maji ya baridi, Liwa haichubui uso wala kukufanya uwe mweupe bali liwwa inakufanya kuwa na ngozi yenye kung’ara zaidi na kukuweka katika hali ya kupendeza wakati wote
Kwa Ngozi Kavu
- Mahitaji
Liwa – kijiko kimoja
Aloevera gel – nusu kijiko
Asali – nusu kijiko
- Namna Ya Kufanya
Changanya mchanganyiko wako katika kibakuli na kisha upake usoni na kukaa nao kwa dakika 20 kisha uoshe uso wako kwa maji masafi, fanya hivi mara moja kwa wiki ili kupata matokeo mazuri.
Kwa Ngozi Yenye Mafuta
- Mahitaji
Liwa – Kijiko Kimoja
Rose Water – Nusu Kijiko
- Namna Ya Kufanya
Changanya mahitaji yako katika chombo, kisha paka mchanganyiko wako na ukae nao kwa dakika 30 kisha uoshe kwa maji ya baridi.
Liwa hupakwa bila kujali kuwa mhusika ni mweusi au mweupe kifupi haichagui kwa kuwa ni kwa ajili ya kung’arisha tu na wala si ya kujichubua, liwa inaweza kupakwa kutwa ara mbili au hata zaidi kwa kuwa haina madhara yoyote katika ngozi ya binadamu zaidi ya kuiweka ngozi kuwa katika hali nzuri zaidi.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/liwa-na-faida-zake-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 13155 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/liwa-na-faida-zake-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/liwa-na-faida-zake-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/liwa-na-faida-zake-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/liwa-na-faida-zake-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/liwa-na-faida-zake-katika-urembo/ […]