Inaonekana trend kubwa kwa sasa ni kusukia rasta ambazo ni ndefu mpaka chini tunaposema chini tunamaanisha zinagusa ardhi. Mwaka 2017 tulimuona mwanadada Nicki Minaj ambapo yeye alisumia rasta ndefu hivi katika video ya motor sport. Nicki alisema ilimchukua masaa 36 kusuka nywele hizi ambapo hii ni sawa na siku moja na masaa kumi na mbili.
Well mwanzoni mwa mwaka huu tulimuona mwanadada Ciara ambae yeye alisuka rasta hizi katika magazine cover ya fault magazine, alisukia styles mbalimbali na hii ilikuwa moja wapo.
Wakati mwanadada Lulu Diva alidrop new pictures katika mtandao wa Instagram na yeye akiwa amesukia aina hio hio ya rasta huku akiwa amevalia body suit na statement accessories well its a lewk.
Huku ingizo jipya katika familia ya wasafi Zuchu nae tulimuona akiwa amesukia rasta hizi huku yeye akiwa amesukia kama mwanadada Nicki Minaj style ambayo inaitwa formation braids.
Well tungependa kujua afromates je unaweza kusuka mtindo huu wa nywele? tupe maoni yako kupitia katika account zetu katika mitandao ya kijamii
Instagram – @afroswagga
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 84583 additional Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/lulu-diva-ciara-na-zuchu-wakiwa-katika-length-floor-braids-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/lulu-diva-ciara-na-zuchu-wakiwa-katika-length-floor-braids-trend/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 3511 additional Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/lulu-diva-ciara-na-zuchu-wakiwa-katika-length-floor-braids-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/lulu-diva-ciara-na-zuchu-wakiwa-katika-length-floor-braids-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/lulu-diva-ciara-na-zuchu-wakiwa-katika-length-floor-braids-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/lulu-diva-ciara-na-zuchu-wakiwa-katika-length-floor-braids-trend/ […]