Kuna msemo unaotumika sana katika social networks hasa kwa wa Africa, wakifanya kitu kizuri wanasema “I did it for the culture” basi tunaweza kusema Lupita Nyong’o did this for the culture, Usiku wa kuamkia leo kulikua na hafla ya Tuzo za Oscars ambapo muigizaji Lupita kutoka Kenya alikuwepo pia.
Lupita aliattend hafla hii akiwa amevalia gold & Bback dress kutoka kwa Atelier Versace, Lupita amemalizia muonekano wake na open heels nyeusi huku akiwa amebeba clutch ya gold.
Katika urembo wa sure, she did a simple makeup as usual lakini tulicho kipenda zaidi ni yeye kuiwakilisha Africa kwa kutumia hair style aliyo iweka siku hio ambayo mwenyewe amesema imekuwa inspired na kabila la Rwanda liitwalo Amasunzu,
Style hii inavaliwa na jinsia zote za kike na kiume lakini kwa hair stylist wake Vernon François ame ongezea modern touch katika hii hair style na kuipa glamour look kwa kuongezea gold thread meandering katika hair style hio
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Lupita amepost hii video na ku-make sure kila mtu anajua inspiration ya hair style yake imetoka wapi
Lupita made it easy kwa wengine ku-follow this are small things that matters katika ku-introduce vya kwetu katika Dunia, Hail Hail Hail to Lupita,
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…