Rangi ya kucha nyeusi imekua ikitrend kwa muda mrefu sasa, most of us tunapenda kuipaka kutokana na kwamba unaweza kuvaa chochote na rangi hii lakini pia ukaingia popote bila kuleta minon’gono. Lakini rangi hii ya kucha ina maanisha nini?
Mwanadada au mtu yoyote anaye paka rangi hii ana tambulika kama mtu mwenye kujiamini na pia ni mbunifu, japo wengi huwa wanapaka rangi hii kutokana na kukosa rangi ya kupaka ni ni rahisi kupatikana.
Kama tulivyo sema mwanzo unaweza kuipaka na ukaingia popote ina fit, kazini, harusini, kwenye mitoko ni neutral color. and we love it for that.
lakini ukipaka rangi hii pia unaonekana chic and fashionable, kama utaipaka na kuvaa vizuri rangi hii inaweza kuwa sexy and edgy lakini pia inaweza kuwa classy na sophisticated.
Tips za jinsi unaweza kuvaa rangi hii kwa faida yako,
- usivae rangi nyeusi
- vaa simple accessories acha black nail polish ndio iwe main accessory yako
- rangi nyeusi inapendeza zaidi katika kucha fupi na size ya kati,katika kucha ndefu inatisha.
- rangi nyeusi ina attract attention unahitajika kuwa na confidence, kama unaaibu au hutaki kuattract attention usipake hii rangi.
photo credits @lavy_products
kujua kuhusu rangi ya midomo nyekundu click hapa
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/maana-ya-rangi-nyeusi-ya-kucha/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/maana-ya-rangi-nyeusi-ya-kucha/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/maana-ya-rangi-nyeusi-ya-kucha/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 77531 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/maana-ya-rangi-nyeusi-ya-kucha/ […]