Mabibi harusi wengi hutumia muda mwingi kufikiria kuhusu ngozi zao na kusahau mambo mengine ambayo pia ni ya muhimu
Nywele: mabibi harusi wengi hasa wa Afrika huwaga wana sahau kabisa swala la nywele, utasikia ntashonea weaving au nita suka rasta mitindo imekua ile ile kila siku tunacho sahau ni kwamba unaweza kutumia nywele zako za asili na ukapendeza unacho takiwa kufanya ni miezi kadhaa kabla ya harusi uanze kuzijali nywele zako, kula vizuri, zioshe, tumia mafuta mazuri ya nywele na zipumzishe na makoro koro yoyote ambayo yanaweza kuziharibu ili siku ya harusi ikifika nywele zako ziwe na afya nzuri.
Macho: ni vizuri siku kadhaa kabla ya harusi uka jaribu kupumzika vyema, ili macho yasivimbe, tunajua maandalizi ya harusi yana chosha zinaweza zikapita siku usilale ukifanya maandalizi ili tu pale ifikapo siku ya siku kila kitu kiwe sawa, lakini haito kuwa vizuri siku ikifika macho ya bibi harusi yame vimba hata make up hazito kaa vizuri.
Mwili: utahitajika ku maintain mwili wako usiongezeke wala usipungue hii ni kutokana na kwamba kama umesha pima na kushonesha gauni basi kama ukiongezeka litakubana au kugoma kuingia na ukikonda lita pelea ni vizuri ukala vizuri, uka fanya mazoezi ili ku maintain mwili wako ifikapo siku ya harusi usiwe na mabadiliko makubwa.
Ngozi: hapa maarusi wengi wa ki afrika huwa wana jichubua waonekane weupe hii sijui hutokana na nini, ni vizuri ukawa na ngozi yako ile ile ila jitaidi tu iwe laini, yenye afya na inayo vutia mbele ya macho ya watu si vizuri kuingia katika ukumbi wa harusi halafu wageni waalikwa waanze kunyoosheana vidole kwamba si alikua mweusi huyu mbona kawa mweupe hivi, haileti picha nzuri.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 80379 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/maandalizi-ya-urembo-kabla-ya-harusi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/maandalizi-ya-urembo-kabla-ya-harusi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/maandalizi-ya-urembo-kabla-ya-harusi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/maandalizi-ya-urembo-kabla-ya-harusi/ […]