Bado kuna mnganyiko katika akili ya mwanamke kama wewe mwenye ngozi ya mafuta au wengine kama wanavyopenda kuiita “kitumbua” ambae unasumbuliwa na chunusi nyingi sana na bado unajiuliza jee ni sawa kupaka mafuta usoni na ngozi yako ni ya mafuta. Inaweza ikakushtua kusikia kuwa kama una ngozi ya mafuta na upake mafuta zaidi hasa kama una chunusi za kupitiliza.
kitu cha kuweka akilini, Uchunguzi unaonyesha kuwa wenye ngozi ya mafuta na wenye chunusi nyingi wana kiwango kikubwa cha oleic acid na kiasi kidogo cha linoleic acid.
Hivyo basi mafuta yanaweza kukusaidia kupunguza na kuponyesha chunusi zako kabisa jambo la kuzingatia ni kutumia mafuta ambayo yana kiasi kikubwa cha linoleic acid na kiwango kidogo cha oleic acid ili upate matokeo bora zaidi.
Na mafuta yenye sifa hizo ni
1. Rosehip Oil
2. Jojoba Oil
3. Hemp seed oil
4. Squalene Oil5.
Safflower
6. Evening Primrose Oil
7. Preakily Pear Seed Oil
8. Grapeseed Oil
9. Borage Seed Oil
10. Mineral Oil.
11. Marula Oil
12. Tea tree Oil
Muhimu sana utafute cold pressed oil ambayo hayajaongezewa vitu vya ziada utapata virutubisho zaidi na ndio haya yanafaa kutumika kwenye ngozi. Cold press oil ni mafuta ambayo yanapatikana kwa kukamua mbegu husika ikiwa bado ina virutubisho vyake na haina nyingeza nyingi ya vitu.
Jee umewahi kutumia mafuta yoyote kati ya hayo na matokeo yake yalikuwaje?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 10304 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/mafuta-gani-utumie-endapo-una-ngozi-ya-mafuta/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/mafuta-gani-utumie-endapo-una-ngozi-ya-mafuta/ […]