Kukatika kwa nywele kunaathiri wanaume na wanawake kwaujumla, hali hii haichagui jinsia. Kukatika kwa nywele kunaweza kukupa stress hasa kama wewe ni mpenzi wa nywele zako, kuna ambao hawaoni shida kuzikata ziote upya lakini kuna ambao wanatafuta nini wafanye kudhibiti hali hii.
Kuna sababu mbalimbali zinazosababisha nywele kukatika
- Magonjwa Kama Cancer
- Madawa
- Umri
- Uzazi
- Kutumia dawa za nywele zenye kemikali kali
- Kuweka style za nywele zinazovuta nywele. Nk.
- Style Ya Nywele Ya Kidoti Inavyo Haribu Nywele Zako
Kuna mafuta ya asili ambayo yanaweza kudhibiti hali hii nayo ni:
- Olive Oil

Olive oil natural conditioner ambayo husaidia kufanya nywele zako ziwe soft, lakini pia ni mafuta mazuri katika kupigana na mba pamoja na kufanya nywele zako zing’ae.
- Castor Oil
Castor Oil husaidia katika mzunguko wa damu, Kufanya nywele zako kuwa na afya pia hupunguza ukatikaji wa nywele na ku-repair nywele zilizo haribika na moto au madawa.
- Coconut Oil
Mafuta ya nazi husaidia kuzipa nywele zako unyevu, kuondoa kujifungafunga kwa nywele (kipilipili), pia hufanya nywele zako kung’aa
- Sesame Oil
Mafuta ya sesame yanasaidia katika kuzipa nywele ugumu na kufanya zisikatike kwaurahisi, yanaboost ukuaji wa nywele na pia kuzuia mvi.
Well kama unatatizo hili jaribu kutumia mafuta haya na uje kutupa ushuhuda.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/mafuta-unayohitaji-kupunguza-kukatika-kwa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/mafuta-unayohitaji-kupunguza-kukatika-kwa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/mafuta-unayohitaji-kupunguza-kukatika-kwa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 94862 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/mafuta-unayohitaji-kupunguza-kukatika-kwa-nywele/ […]