Nazi ni moja ya tunda linalo dharauliwa na wengi hawalichukulii serious lakini lina msaada kubwa sana katika afya na urembo, moja kati ya faida kubwa ya maji ya nazi ni kufanya ngozi kavu kuwa na unyevu.
Anza siku yako kwa kunywa glass ya maji ya madafu au maji ya nazi,katikati ya siku kunywa maji ya kawaida lakini pia kula vyakula ambavyo vinaongeza maji mwilini kama avocado,olives na nazi. kufanya hivi kila siku kutakufanya ngozi yako iwe nyevu wakati wote. Lakini pia unaweza kutumia kama face mask
Utahitaji :
- Vijiko viliwi vya maji ya nazi
- nusu kijiko cha maji ya limao
- kijiko kimoja cha asali
Namna Ya Kufanya:
- changanya mahitaji yako katika bakuli au kikombe
- paka usoni na u-massage kidogo kisha kaa nao mchanganyiko wako kwa dakika 30, osha kwa maji ya baridi
Unaweza kufanya hivi mara tatu kwa week kwa matokeo bora zaidi, lakini pia kama una ngozi kavu usiweke limao, limao lina asili ya
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/maji-ya-nazi-yanasaidia-kufanya-ngozi-iwe-na-unyevu/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 69459 additional Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/maji-ya-nazi-yanasaidia-kufanya-ngozi-iwe-na-unyevu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/maji-ya-nazi-yanasaidia-kufanya-ngozi-iwe-na-unyevu/ […]