Kuosha uso kunawezekana kuonekana kama ni jambo rahisi ( Yes Ni Jambo Rahisi) Lakini kuuosha ipasavyo hapo ndipo ugumu unapokuja. Kuuosha uso wako ipasavyo ndio fungo ya kupata ngozi yenye afya na nyororo.
Ukiachana na kuosha uso wako mara mbili, kujua namna unapaswa kuosha uso wako ilingozi isishuke (sagging skin) ni vyema pia kujua ni maji gani yanafaa kuoshea uso wako
- Maji Ya Baridi
Maji ya baridi haya huwa hayamalizi kutoa vipodozi vyema usoni, ni mazuri kwa kufanya ngozi yako isishuke (sagging), yana promote blood circulation na kufanya ngozi yako ing’ae lakini pale unapotoka kuosha uso kuondoa uchafu hayafai sana.
- Maji Ya Moto
Maji ya moto sana yanawezakusababisha ngozi yako kuwa kavu na kusababisha miwasho
- Maji ya uvuguvugu
Haya ni maji sahihi kuoshea uso wako, yanaondoa uchafu vyema lakini pia yanasaidia kuhifadhi mafuta yako ya asili ya ngozi.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/maji-yapi-yanafaa-kuoshea-uso-wako/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/maji-yapi-yanafaa-kuoshea-uso-wako/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/maji-yapi-yanafaa-kuoshea-uso-wako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/maji-yapi-yanafaa-kuoshea-uso-wako/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/maji-yapi-yanafaa-kuoshea-uso-wako/ […]