Make up ni kitu ambacho wasichana wengi na wamama wana pendelea sasa hivi, kama sio kupaka basi hufanya kwa biashara na kwa sasa ipo kwenye soko mno. WIki hii tumeona watu maarufu kama Happiness Magesse, Nisha Jabu na wengineo wakitupia picha zao wakiwa wame pakwa make up ni kiukweli zina vutia mno.
Nisha yeye aliweka ombre lipstick na make up yake huku akiwa amevalia Nigerian swagg labda ni movie mpya ina kuja
Happiness yeye aliweka Nude Lipstic na make up simple muonekano huu ni matata mno
irene yeye aliweka bolb lipstick na kubandika kope akapaka na make up yake simple to make it perfect aka ipic mix picha yake na rihanna ambae nae alipaka make up kama zake
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-looks-tulizo-zipenda/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-looks-tulizo-zipenda/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-looks-tulizo-zipenda/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-looks-tulizo-zipenda/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-looks-tulizo-zipenda/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-looks-tulizo-zipenda/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-looks-tulizo-zipenda/ […]