Kama ni mpenzi wa make up basi utakua ume notice watu wengi wanapaka make up design moja sasa hivi, si kama zamani watu walikua wakipaka make up rangi nyingi nyingi kwa sasa watu wengi hupaka rangi moja na simple eyeliner. Design hii ni simple na unaweza kupaka wakati wowote kokote.
hawa ni baadhi ya watu maarufu kutoka hapa hapa bongo walio tokelezea na kupendeza na aina hii ya make up
Elizabeth Michael ame pendeza na neutral make up yake akiwa ame valia na blonde wig
Penny akiwa ame weka red bold lipstick na makeup yake ya gold na nyeusi
Vanessa nae ame paka neutral makeup na blonde wig
wakati wolper ameenda na nude kila kitu
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-zinazo-trend-kwa-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-zinazo-trend-kwa-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/make-up-zinazo-trend-kwa-sasa/ […]