Wakati tukifanya process za kuimarisha movies zetu zionekane bora katika msingi wa picture kuwa nzuri na story kueleweka tunadhani ni wakati sahihi pia wa kushirikisha watu sahihi katika ku-style mavazi na makeup.
Kama mpenzi wa movies utajua kwa sasa huko kwa wenzetu wanatilia mkazo sana katika mionekano yao na movie nyingi kwa sasa zinahusisha event za fashion, mfano mzuri ni movie ya Ocean 8 ambayo mwanamuziki Rihanna ameact ndani yake kuna event ya fashion kubwa ambayo hufanyika kila mwaka huko marekani.
Lakini kuna movie nyingine nyingi kama Be My May Be, na hata ambazo zile ambazo hazihusishi event hizi mavazi yao yapo vizuri pamoja na makeup. Anyways leo tunataka kuongelea zaidi kuhusu makeup.
Ukiongelea makeup za movie kwa upande wetu Tanzania its a horror story, kuanzia makeup tu za kawaida mpaka makeup za kubadilisha features za mwili au kupewa muonekano tofauti ni a DISASTER. Tunaona kwa sasa Bongo Movies wakijaribu kuirudisha Tasnia yao kwa nguvu zote tupo hapa kuwapa makeup artist watatu ambao watakuwa msaada mkubwa kwao.
Nasra Kaseja ni makeup artist kutoka Dar Es Salaam, Ambae yeye huwa anapenda kutuonyesha uwezo aliokuwa nao kutoka katika kazi yake. Ni makeup artist mzuri ambae anafaa kutumiwa katika bongo movies anaweza kukubadilisha kuwa mzee lakini ni mzuri pia katika kutengeneza vidonda.
View this post on InstagramA post shared by Nash P⚫int Design (@nasraliciouskaseja) on
Talha Talimba ni moja kati ya makeup artist wazuri kabisa kwenye swala zima la zile scary movies, anaweza kukubadilisha ukawa zombie. Tumeona kazi zake kadhaa & tunasema kwamba a girl has talent
View this post on InstagramA post shared by Talha Tarimba (@tglamtorials) on
Tunu Designs kutoka Mwanza, na yeye ni bora kabisa katika swala la makeup na kubadilisha features na kukupa muonekano mwingine.
View this post on Instagram#horrormovies #horrormakeup #art #makeup #tunu#eyefallingoff
A post shared by Tunu glamorous mwanza (@tunu_designs) on
Tunadhani ni muhimu kuwa-consider makeup artist ambao wanajua wakifanyacho ili kuzipa movies zetu uhalisia, tumechoka kuona makosa ya hapa na pale yanayoshusha tasnia na kufanya wa-Tanzania wachoshwe na movies zetu za ndani kwa kukosa kiwango kizuri.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-3-wa-kutumiwa-na-bongo-movies/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-3-wa-kutumiwa-na-bongo-movies/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-3-wa-kutumiwa-na-bongo-movies/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-3-wa-kutumiwa-na-bongo-movies/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-3-wa-kutumiwa-na-bongo-movies/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-3-wa-kutumiwa-na-bongo-movies/ […]