Kama hujawahi kusikia au umewahi kusikia lakini huamini basi “Yes Wanaume Hupaka Makeup Pia” japo makeup zao huwa sio obvious kama kwa wanawake, lakini wao pia wanapakwagwa kuficha vitu kadhaa wa kadhaa. Na hii sio tu Tanzania bali hata Nchi za nje na sio tu kwenye movies, music videos, bali hata kwenye interviews na red carpet.
Tofauti na wenzetu wa nje na sisi ni kwamba wao hutumia rangi za makeup zinazoendana na miili yao wakati kwetu inaoneka hii inatupa shida kidogo. Tumeona mara nyingi hasa kwenye music videos wakikosea kuwapaka makeup na kupaka makeup ambazo ni tofauti na rangi zao.

Tunadhani makeup artist wajitahidi sawa ambavyo wanajitahidi kwa wasanii au watu maarufu wa kike kuhakikisha makeup zao wanazitendea haki basi wafanye kwa wanaume pia.
Its a shame kwa mwanaume kuwa noticed kapaka makeup sababu kwa jamii zetu inaaminika makeup ni kwa wanawake tu. Japo huko kwa wenzetu wanamuziki wakubwa wakiume wanapakwa lakini huwezi tambua kama amepakwa.

Kwa sasa makampuni mbalimbali ya vipodozi yanajitahidi kutoa vipodozi ambavyo vinaendana sawa na rangi za miili yetu tunadhani hii ichukuliwe to consideration kwa wanaume pia.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-wa-tanzania-kuna-uhitaji-wa-kuwatendea-haki-wanaume-pia/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-wa-tanzania-kuna-uhitaji-wa-kuwatendea-haki-wanaume-pia/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 34616 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-wa-tanzania-kuna-uhitaji-wa-kuwatendea-haki-wanaume-pia/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-wa-tanzania-kuna-uhitaji-wa-kuwatendea-haki-wanaume-pia/ […]